Mazishi ya msanii mahiri wa tasnia ya filamu Juma Issa Kilowoko ‘Sajuki’ aliyefariki dunia juzi yanatarajiwa kufanyika leo mchana katika makaburi ya Kisutu baada ya sala ya Ijumaa. Akiongea na mwenyekiti wa kamati ya mazishi Steve Nyerere amesema kuwa msiba huu unasimamiwa na shirikisho na wasanii wa filamu na wadau wa tasnia hiyo.
Kamati ya mazishi ikiteta jambo na Kiongozi wa shilikisho la filamu

Stive Nyerere akipokea mchango wa mazishi kutoka chuo cha filamu cha Pastor Myamba

Wasanii wa filamu wakiwa wamekaa kimya wakisikiliza jambo kutoka kwa Uongozi wa shilikisho la Filamu

Kiongozi wa shilikisho la filamu akitoa mawili matatu kwa wasanii wa filamu

Mdau akitoa mchango wa mazishi

Mdau akitoa mchango wa mazishi

Masanja Mkandamizaji


Viongozi wa kamati ya mazishi wakijadiliana jambo na wadau wa filamu

Mdau wa filamu akitoa pole na kuwafariji ndugu wa marehemu

Waigizaji wa filamu wakiwa wamekaa kwa huzuni

wasanii wafilamu

Baadhi ya wasanii wakiwa katika pozi la uzuni

Mwigizaji katika pozi

Waigizaji wa filamu

No comments:
Post a Comment